Tuesday, March 6, 2018

Job Opportunity at UONGOZI Institute, Trainer

Trainer

Location
Other Dar es Salaam District Dar Es Salaam
Description
Industry: NGO
Minimum Qualification: Masters
Minimum Experience: 5 years

Through our training programmes, leaders acquire the skills and knowledge to understand the complex world of choices, to make sound and strategic decisions that can envision the future and to enhance their personal leadership qualities. The training solutions are both inspiring and empowering, delivered by national, regional and international experts using the best mix of learning methodologies for adult learning.

Tuesday, May 16, 2017

JACK Wolper “Kwenye Maisha Yangu Sijawahi Kuachwa, Sina Kabisa Record Hiyo"

Msanii wa filamu Jacqueline Wolper amefunguka kuizungumzia ishu ya kuachana na aliyekuwa mpenzi wake, Harmonize.

Muigizaji huyo amedai hana msongo wa mawazo kutokana na tukio hilo huku akidai hajaachwa kama baadhi ya watu kwenye mitandao wanavyodai.

Friday, January 6, 2017

Huyu Ndio Msanii wa Kwanza Kusainiwa Kwenye Lebo ya Alikiba


Ni Abby Skillz aliyerudi rasmi kwenye muziki kwa wimbo wake Averina akiwa na Mr Blue pamoja na Alikiba amefunguka na kusema kuwa yeye ni msanii wa kwanza kusaini mkataba chini ya 'Label' ya msanii Alikiba inayofahamika kama 'Kings Music'.

Sunday, November 13, 2016

Tazama Video Mpya ya Wimbo wa Rosa Ree Kutoka The Industry iliyoko Chini ya Nahreel

Rapper Mkali wa Kike kutoka Tanzania Rosa Ree Aliyoko chini ya lebo ya Mziki ya The Industry jana ameachia Rasmi wimbo wake wa Kwanza unaoitwa One Time, Nimekuwekea Link ya Kudownload Wimbo Huo Hapa chini na Video: 

Hotuba ya Waziri Mkuu ya kuahirisha mkutano wa tano wa Bunge la 11 Novemba 11

1. Mheshimiwa Spika, awali ya yote, naomba kutumia fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutulinda na kutufikisha salama siku ya leo tunapohitimisha Mkutano wa Tano wa Bunge lako Tukufu tuliouanza tarehe 1 Novemba, 2016.

Thursday, November 10, 2016

Kauli ya Mkhitaryan kuhusu kupewa nafasi ndogo na Mourinho

Kiungo wa kimataifa wa Armenia aliyejiunga na Man United msimu huu akitokeaBorussia Dortmund ya Ujerumani Henrikh Mkhitaryan amefunguka kwa mara ya kwanza kuhusu kutopata nafasi ya kutosha kuitumikia Man United.

Wednesday, November 9, 2016

Tuesday, November 8, 2016

Anachokijua kocha Lwandamina kuhusu soka la bongo

Taarifa kutoka katika mitandao ya Zambia leo November 8 2016 ni kuhusiana na aliyekuwa kocha mkuu wa Zesco United George Lwandamina kujiuzulu nafasi hiyo ambapo mkataba wake ungemalizika January 2017, kitendo hicho kinadaiwa ni dalilia za kujiunga na Yanga.

TB JOSHUA ATABIRI BI CLINTON ATASHINDA URAIS MAREKANI

Muhubiri TB Joshua

Muhubiri TB Joshua amesema kuwa Bi Clinton atashinda kwa ushindi mdogo dhidi ya mpinzani wake
Muhubiri maarufu wa vipindi vya Televisheni nchini Nigeria TB Joshua amesema ametabiri " kwamba Hillary Clinton atamshinda Donald Trump" katika uchaguzi wa urais wenye ushindani mkali tarehe 8 Novemba mwaka huu.