Trainer
Location
Other Dar es Salaam District Dar Es Salaam
Description
Industry: NGO
Minimum Qualification: Masters
Minimum Experience: 5 years
Through our training programmes, leaders acquire the skills and
knowledge to understand the complex world of choices, to make sound and
strategic decisions that can envision the future and to enhance their
personal leadership qualities. The training solutions are both inspiring
and empowering, delivered by national, regional and international
experts using the best mix of learning methodologies for adult learning.
Showing posts with label habari. Show all posts
Showing posts with label habari. Show all posts
Tuesday, March 6, 2018
Tuesday, May 16, 2017
JACK Wolper “Kwenye Maisha Yangu Sijawahi Kuachwa, Sina Kabisa Record Hiyo"
Msanii wa filamu Jacqueline Wolper amefunguka kuizungumzia ishu ya kuachana na aliyekuwa mpenzi wake, Harmonize.
Muigizaji huyo amedai hana msongo wa mawazo kutokana na tukio hilo huku akidai hajaachwa kama baadhi ya watu kwenye mitandao wanavyodai.
Muigizaji huyo amedai hana msongo wa mawazo kutokana na tukio hilo huku akidai hajaachwa kama baadhi ya watu kwenye mitandao wanavyodai.
Thursday, February 2, 2017
Friday, January 6, 2017
Huyu Ndio Msanii wa Kwanza Kusainiwa Kwenye Lebo ya Alikiba
Monday, December 5, 2016
Tuesday, November 22, 2016
Sunday, November 13, 2016
Hotuba ya Waziri Mkuu ya kuahirisha mkutano wa tano wa Bunge la 11 Novemba 11
1. Mheshimiwa Spika, awali ya yote, naomba kutumia fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutulinda na kutufikisha salama siku ya leo tunapohitimisha Mkutano wa Tano wa Bunge lako Tukufu tuliouanza tarehe 1 Novemba, 2016.
Saturday, November 12, 2016
Wednesday, November 9, 2016
Tuesday, November 8, 2016
TB JOSHUA ATABIRI BI CLINTON ATASHINDA URAIS MAREKANI

Muhubiri TB Joshua amesema kuwa Bi Clinton atashinda kwa ushindi mdogo dhidi ya mpinzani wake
Muhubiri maarufu wa vipindi vya Televisheni nchini Nigeria TB Joshua amesema ametabiri " kwamba Hillary Clinton atamshinda Donald Trump" katika uchaguzi wa urais wenye ushindani mkali tarehe 8 Novemba mwaka huu.
Sunday, November 6, 2016
Bunge Lapitisha Rasmi Muswada Wa Sheria Ya Huduma Za Habari Wa 2016
Na Jacquiline Mrisho na Eleuteri Mangi – MAELEZO, Dodoma.
Mkutano wa Tano wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania umepitisha rasmi Muswada wa Sheria ya Huduma za Habari wa mwaka 2016 ambapo hatua inayofuata ni kuridhiwa na kusainiwa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli ili uwe Sheria kamili ya nchi.
Bunge Lapitisha Rasmi Muswada Wa Sheria Ya Huduma Za Habari Wa 2016
Na Jacquiline Mrisho na Eleuteri Mangi – MAELEZO, Dodoma.
Mkutano wa Tano wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania umepitisha rasmi Muswada wa Sheria ya Huduma za Habari wa mwaka 2016 ambapo hatua inayofuata ni kuridhiwa na kusainiwa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli ili uwe Sheria kamili ya nchi.
Friday, November 4, 2016
Magazeti ya Tanzania November 4, 2016 kuanzia, Udaku, Hardnews na michezo

November 4 2016 naanza kukusogezea post zote kubwa kwenye zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye,Udaku, Hardnews na Michezo ili uje kinachoendelea Mtu wangu usiache kukaa karibu yangu kwenye Facebook, Twitter na Instagram @jom_thefuture ili niwe nakutumia kila kinachoonifikia
Walimu Watatu Watiwa Mbaroni Kwa Kuwazuia Wanafunzi Kufanya Mtihani wa Kidato cha Nne
POLISI mkoani Dodoma inawashikilia walimu watatu wa shule za sekondari kwa tuhuma ya kuwazuia wanafunzi wa kidato cha nne, kufanya Mtihani wa Taifa.
Thursday, November 3, 2016
Subscribe to:
Posts (Atom)















